Thursday, May 3, 2012

8th march international women's day, lauch of stop gender based violance- Alice Foundation

 maandamano ya amani katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia- hafla zilizoandaliwa na Alice Foundation

  maandamano ya amani katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia- hafla zilizoandaliwa na Alice Foundation
 Mwenyekiti na mwanzilishi  wa Alice Foundation ambae pia ni mkurugenzi wa Alice Fashion World akimwelekeza jambo mgeni rasmi ambaye ni Mbunge  wa jimbo la Ubungo Mh. John mnyika katika uzinduzi rasmi wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia machi 8 2012 katika viwanja vya sanaa jijini Dar.

wamama wakichangia wamazo katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia.

No comments:

Post a Comment