Thursday, May 3, 2012

Alice Foundation ikishirikiana na ofisi ya serikali ya mtaa Ubungo NHC na jeshi la polisi yaandaa mkutano wa wazi na wananchi kwa legho la kuelimishana umuhimu wa polisi jamii na ulinzi shirikishi

ACP Kiondo na Mwenyekiti na mwanzilishi wa Alice Foundation wakati wa mkutano na wananchi juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi

 wananchi wakisikiliza kwa makini wakati mgeni rasmi ACP kiyondo akihutubia juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi
 Mkuu wa kituo cha polisi Urafiki Afande Paparika na mwenyekiti wa Alice Foundation Ambaye pia ni mkurugenzi wa Alice Fashion World na Founder wa Alice Foundation  Ms. Alice James Dosi kushoto ni Mr. Chillo Bunto Volunteer wa Alice Foundation
 Afisa mtendaji kushoto akifuatilia kwa makini mafunzo kutoka kwa ACP Kiondo
 wananchi wakisikiliza kwa makini wakati mgeni rasmi ACP kiyondo akihutubia juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi
polisi jamii katika kata yetu ya Ubungo

No comments:

Post a Comment