Thursday, May 3, 2012

Alice Foundation yawakumbuka watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi kwa kuandaa hafla ya michezo na chakula cha mchana 26th april 2012

Hafla  ya michezo pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi lengo hasa lilikuwa ni watoto waweze kupata haki yao ya michezo pamoja na kufahamiana na kubadilishana mawazo.watoto walikuwa zaidi ya 400 ambapo wapo wanaosoma shule za msingi na sekondari katika kata yetu ya ubungo watoto hao walishindana michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mbio za magunia, mbio za kupokezana vijiti, kukimbia na kijiko na yai, kuvuta kamba na maswali ya ufahamu wa afya na mazingira. baada ya mashindano washindi walipata zawadi mbalimbali yakiwemo mabegi ya shule, miswaki, madaftari,kalamu na nyinginezo.
baada ya mashindano ulikuwa ni wakati wa kunywa na kula.. katika watoto hao baadhi ni wale tunao wasomesha, wengine kulipiwa nauli za shule na kupata huduma nyingine za msingi kutoka Taasisi yetu ya Alice Foundation.







Taasisi ya Alice yenye makazi yao eneo la ubungo NHC (sinza legho kituo cha basi)jana iliandaa hafla kwa watoto waishio katika mazingira magumu waishio katika kata ya Ubungo ambapo pia iliwakutanisha watoto hao na wengine waliopo shuleni.

Akizungumza na Elimubora Mkurugenzi wa Alice Foundation , Ms. Alice James Dosi alisema kuwa hafla hiyo inalenga kuwaweka pamoja watoto waishio katika mazingira magumu kuwafariji na kuwapati ushauri nasaha.

Alisema kuwa watoto 400 walishiriki hafla hiyo iliyoshirikisha michezo mbalimbali kama vile kuvuta kamba, mbio za mayai katika kijiko, kunywa soda, kupokezana vijiti, kukimbia na magunia.

Alisema kuwa watoto walifurahia tukio hilo na alisisitiza kuwa litakuwa likifanyika mara kwa mara.

Taasisi hiyo ya Alice inajishughulisha pia na masuala ya utunzaji wa mazingira, uwezeshaji wa akina mama, haki za wanawake, kusaidia watoto waishio mazingira magumu na  masuala ya Mkukuta.

Alice Foundation ikishirikiana na ofisi ya serikali ya mtaa Ubungo NHC na jeshi la polisi yaandaa mkutano wa wazi na wananchi kwa legho la kuelimishana umuhimu wa polisi jamii na ulinzi shirikishi

ACP Kiondo na Mwenyekiti na mwanzilishi wa Alice Foundation wakati wa mkutano na wananchi juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi

 wananchi wakisikiliza kwa makini wakati mgeni rasmi ACP kiyondo akihutubia juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi
 Mkuu wa kituo cha polisi Urafiki Afande Paparika na mwenyekiti wa Alice Foundation Ambaye pia ni mkurugenzi wa Alice Fashion World na Founder wa Alice Foundation  Ms. Alice James Dosi kushoto ni Mr. Chillo Bunto Volunteer wa Alice Foundation
 Afisa mtendaji kushoto akifuatilia kwa makini mafunzo kutoka kwa ACP Kiondo
 wananchi wakisikiliza kwa makini wakati mgeni rasmi ACP kiyondo akihutubia juu ya polisi jamii na ulinzi shirikishi
polisi jamii katika kata yetu ya Ubungo

8th march international women's day, lauch of stop gender based violance- Alice Foundation

 maandamano ya amani katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia- hafla zilizoandaliwa na Alice Foundation

  maandamano ya amani katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia- hafla zilizoandaliwa na Alice Foundation
 Mwenyekiti na mwanzilishi  wa Alice Foundation ambae pia ni mkurugenzi wa Alice Fashion World akimwelekeza jambo mgeni rasmi ambaye ni Mbunge  wa jimbo la Ubungo Mh. John mnyika katika uzinduzi rasmi wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia machi 8 2012 katika viwanja vya sanaa jijini Dar.

wamama wakichangia wamazo katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia.

Thursday, March 29, 2012

, March 8th 2012"STOP Gender Based Violence "Mrs. Alice Dosi Mwamsojo akizindua rasmi kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya Alice Foundation Katika viwanja vya sanaa na Mgeni rasmi alikuwa MH. John Mnyika

 please visit: alicefasionworld.blogspot.com   for more info on the event.

Tanzania: Enterprising Lady Gives Back to Society

Enterprising Lady Gives Back to Society- Daily News 19th March 2012

Tanzania: Enterprising Lady Gives Back to Society

ALICE Dosi Mwamsojo is a woman with a vision, a mission and compassion for Tanzanian souls. Her dream is to help the poor and people without hope for a better future.
The 30-year old lady is the brain behind Alice Foundation, a non-government organization with an overall objective of improving social and economic advancement of street children in Tanzania, by increasing access to education. The foundation has also the task to cater for maternal matters, newborns health and sexual reproductive health services related to HIV and AIDS. "Alice Foundation is not here to compete but to work with other NGOs that serve the interests of women and children.
The Foundation has a strategic plan to make significant contributions to Tanzanian women and their families through working closely with the government and donors," Ms Mwamsojo explains. At first, the foundation targeted street children. However, with other board members, she changed their mind. Alice, who lives and runs her business and her foundation in Ubungo, says she grew up with sympathy for street children she saw.
"Our foundation started with Ubungo ward because the area is filled with street children, I think it's due to Ubungo Terminal Bus Station. I got a thought that if I wanted to make a change for the poor souls, I should start at home," she says. It all started late 2010, Alice, a social worker graduate and a former sales and market manager, Ms Mwamsojo left her job at the Syscorp, and opened her Alice Fashion World boutique where she sells and rent wedding dresses, maid of honour/maids dresses and caters for wedding and provide a rental car services.
"My boutique is a place where a bride would want to be. We provide all sorts of services," she explains. Within one year, her business boomed. Despite the little profit she earned, she decided to give back to the community. "I have been a volunteer for long. So when my business became successful I thought more about a better way to give to the community than start my own foundation."
The foundation was established in 2011, has 10 members and seven volunteers. The organization operates through four main programmes namely: MKUKUTA (National Poverty Reduction Framework), Women Empowerment, Health and Environment and Educating street children. "We have different projects such as the women empowerment program which has 28 groups of different women.
We also pay school fees for 11 children, and in a week we do a visitation to 276 children, who are underprivileged," The foundation isn't a year old yet, but has done a lot without a sponsor. "We don't have a sponsor. Sources of revenue for Alice Foundation come from a small stationery station where we provide services like 3-minutes express passport size photographs, photocopy and scanning.
These have helped us to run the office, get lunch money, transportation fee and manage administrative cost." A mother, a wife and a businesswoman, Alice is still trying to master her time. She says some day she will be the best chairperson of Alice Foundation.
"I spend a lot of time working as the Managing Director of Alice Fashion World, a chairperson of Alice Foundation and a designer. Being a blogger, a wife and a mother is not easy because there are times I stay off work to have time with my husband and my baby," she confesses.
Alice's vision is to increase the number of economically empowered women, progressive communities with well educated children free from ignorance, disease and poverty. It looks like her mission is giving her that. On March 8, this year the Alice Foundation launched a campaign to stop violence against women. The guest of honor was Ubungo Member of Parliament John Mnyika.
Alice says, apart from funds, the only challenge they face is a lack of commodious office. They need a bigger office, office tools such as a computer for storing their data. The future is bright for Alice Foundation. In the near future Alice says they are thinking of opening a bank to give women security with their money, and where they get a quick loan, a children's campaign that will help raise awareness on HIV/AIDS in an earlier stage.
Her message to people is: "People who search for happiness think that money and fame will make their life perfect, that is not true at all. You have to be thankful for everything you know and own. Just remind yourself that someone in the world has never even had the privilege you have.
"There is somebody always better than you and always somebody less fortunate than you. Until you find a middle ground and accept what you have, you will not have happiness. Together we can eradicate poverty in our nation. Together we can do this".

Wednesday, February 1, 2012

Mkutano na Volunteers kwa lengo la kukusanya data.

Tukipongezana baada ya kumaliza kikao chetu cha kujadili utendaji wetu na kupeana majukumu.

Thursday, January 19, 2012

Alice Foundation


Alice  Foundation is a non- governmental, non-profit organization founded by  Mrs Alice Dosi Mwamsojo  Who is a designer, marketer  and a social worker, in early  2011 in Dar es Salaam, Tanzania. The main goal of the organization is to improve the life standard of women, children through promoting them to access to education, health service: adolescent and sexual reproductive, maternal and infant, and capacity building for economic empowerment.

Despite Tanzania country efforts to improve socio economic status of people still poverty remain a major challenge especially for the majority of women and children living in the rural part of Tanzania. They lack access to education, preventive and curative sexual reproductive and maternal and infant health services and financial and technical assistance for socio-economic and professional advancement.

 As a result, they become vulnerable to chronic poverty indicated by high maternal and infant deaths, early pregnancy, sexually transmitted infections including HIV and AIDS and income poverty.

Alice Foundation is not there to compete but to work with   other NGOs that serve the interests of women and children. The Foundation has a strategic plan to make significant contributions to Tanzanian women and their families through working closely with the government and donors.

Alice Foundation’s overall objective is to improve social and economic advancement of street children in Tanzania by increasing access to education, and for women maternal, newborn health and sexual reproductive health services including HIV and AIDS.

Vision
Alice Foundation envisions is to increase the number of economically empowered women, progressive communities with well educated children free from ignorance, disease and poverty.
 Mission
Alice Foundation’s mission is to empower women, Build a better nation free from ignorance, diseases and poverty.